Imeelezwa kuwa Wanawake zaidi ya asilimia 50% wanategemea ardhi kwaajili ya kipato chao.

Na.Saleh Ramadhani. DODOMA. Kamishna ustawi wa jamii Dokta Naftali Ng’ondi amebainisha kuwa wanawake zaidi ya asilimia 50% wanategemea ardhi kwajili ya kipato chao.kauli hiyo imetolewa jijini Dodoma wakati akifungua Mkutano uliokuwa ukifanyika kwa njia ya mtandao ambao umehusisha nchi wanachama wa UN zaidi ya 140. Dkt Naftali ameeleza kuwa uelewa na muamko wa wakina mama